Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Kashindwa kutetea hoja yake, kakazana ni mipango ya mungu, how? Jibu hana
Binafsi huwa najihoji kuwa na dini ila mambo mengi sana yanakosa majibu mubashara basi naamua kuacha.
Ukizingatia, haya majibuya huyu mleta Uzi ndiyo ayo hayo hutolewa humo kwenye dini zote yaani hayana uhalisia kabisa.