Jamani tujaribu kuwa waungwana,unapopata habari kam hiyo, jaribu na wewe kutoa habari na sio kuponda tu pasipo kuwa na msingi,ni swala la kumshukuru mtoa habari kisha nawe uzidi kufatilia habari hiyo katika vyanzo vingine kaa hujaridhika na taarifa yake,nadhani hiyo ni njia pekee ya kutakakujua...