Yeye mwenyewe aliamuru watoto wasio na hatia wauwawe kwa kukatwa katwa kama nyama (1Sam 15:3). Pia aliwauwa mwenyewe watoto wasio na hata hadi watoto wa wafungwa kwa kosa farao ambaye ni yeye mwenyewe alikuwa anamshika mawazo yake kwa kumfanya awe mkaidi makusudi, na wengi wengine kwa maji...
Umejaribu kulinganisha kiasi cha data MB/GB kilichopimwa na kifaa chako kikawa ni tofauti na kile kinachopimwa na Airtel/Vodacom?
Kwenye simu/tablet kuna sehemu ya kukagua matumizi ya data (mobile data usage) au unaweza kupakua app inayoweza kukupa summary kwa urahisi. Kisha ukakuta data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.