Ni kweli, name binafsi nimefatilia suala hili kwa wiki kadhaa...afadhali hata Star Tv wanaonesha, TBC hata kwenye maandishi ya chini hayaonekani hasa kwa habari zinazohusu upinzani..na sasa nina ma mwaka sijakaa seriousl kungal vipindi ya TBC wakati wa ilikuwa nzur sana hikuwa na bias
Nafikiri kuwa jamaa yuko sawa.. haina haja ya kumpokea EL, binafsi nilikipeda cham kwa ukemeaji wake...wapo wengi wenye uwezo wa kuongoza..ifikie mahali ambapo tuhuma tu imfanye mtu akataliwe..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.