Recent content by daniel mgomo

  1. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Masikio yananitesa sana, nimechoka kuchekwa na kudharauriwa

    Yapo matibabu yakumaliza tatizo lako kabisa muone daktari bingwa wa magojwa ya macho.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Marekani pamoja na kuwa kinara wa kuhubiri usawa wa kijinsia hawajawahi kuwa na Rais mwanamke

    Wanawake lakini ni dhaifu , angalia nyoka tu alimpiga sound Hawa hadi akakubali kula tunda alilokatazwa na Mungu.Na nyoka wa zamani walikuwa kiboko, walijua hata lugha ya Kiarabu maana kule Eden ni Urabuni .
  3. D

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ushauri: TCRA wafanye nini kumaliza tatizo la wizi wa simu

    Simu zote za wizi mafundi wana uwezo wa kubadili IMEI namba kwa jinsi wavyotaka.Kuna simu nyingi ambazo zimeharibika na hazitengenezeki lakini zinazo IMEI.Mafundi hua wanabadilisha namba wanatoa namba za imei kwenye simu mbovu na kuziingiza kwenye simu za wizi.Ndio maana zoezi la kutokomeza wizi...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Sekta ya afya yavamiwa na “viwavi jeshi”

    Ni kweli kama nilivyosema sababu ya kupata UTI kwa watu wazima ikiwa ni pamoja wanawake ni kwa sababu ya kujamiana zaidi.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Sekta ya afya yavamiwa na “viwavi jeshi”

    SEKTA YA AFYA YAVAMIWA NA “VIWAVI JESHI” Kila binadamu anahitaji kuwa na afya njema ili aweze kuishi maisha marefu yenye furaha na fanaka. Afya maana yake ni hali ya kutokuwa na ugonjwa kimwili, kiakili, kiroho na kijamii. Wizara ya afya ndio pekee iliyopewa jukumu la kusimamia afya za...
Back
Top Bottom