Mbn ziko wazi na mteja anaelezwa kabla ya kujiunga
Mfano Exclusions
Kansa, korona kipindu pindu
Maradhi sugu fidia ni miezi 6
Maradhi mengine ni mwezi mmoja baada ya kujiunga
Inafikirisha sana AU wapo kimya kama mgogoro huu upo nje ya bara la Africa n then we expect kumaliza neo colonialism never Kwa Hali hii kuruhusu machafuko ndani ya Africa hafu baadae ndio wafanye resolution Kwa nn wasizuie kwanza inafikirisha sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums...
Mkuu Kuna sehemu hapo imeandika ameomba mkuu uweke google translator then uone kma Kuna ombi hapo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Usibishane na watu wasio jua vizr cold war na causes the wwi unajua Kuna mtu anaandika unahisi fikra zake ni fupi sana tena sana tuna safari ndefu sana koz Hawa Hawa wanaoandika Wanataka kuwa viongozi na wao inafurahisha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.