Unaweza kuwa na hoja nzuri ukashindwa kuitengenezea Facts! Vibanda unavyovizungumzia ni Mali ya CCM Mkoa! Kwa namna yoyote ile Mbunge hahusiki wala CCM Wilaya hawahusiki! Jambo la Pili Vibanda hivyo vilijengwa kwa Makubaliano Kati ya CCM Mkoa na wafanya Biashara kwa Mikataba Maalumu! Hakuna...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo yenye mamlaka ya maandalizi na Usimamizi wa Uchaguzi! Tuiachie Tume ifanye kazi, matokeo tutayapata 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Msijitoe ufahamu! Lijua Likali amehoji matumizi ya fedha hizo zilizodaiwa kuwa kwenye fixed account pamoja na matumizi ya Ruzuku aidha Kuna hoja ya mtuhumiwa kuitwa na kuhojiwa na kujieleza kwa maandishi ndani ya Siku 14 kabla ya kupewa adhabu hiyo hamjaiona siyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matarajio yako nini? Madelu asipandishwe wadhifa? Umeumia alivyoteuliwa? Ulifurahia alipoondolewa kwenye Uwaziri?
Nikwambie Madelu bado kijana and good enough ume declare kuwa yupo smart kichwani kwa umri wake bado ana ndoto nyingi! Muache apige kazi hata jeshini Kuna kitu kinaitwa kitendo cha...
Kama mna wachezaji ambao wapo tayari kununuliwa kama mnavyodai poleni sana! Kabla ya kuivamia CCM nawashauri mrekebishe mambo madogo madogo kwenu, ujenzi wa Ofisi za Chama Wilayani na Mikoani,Posho kwa watendaji wenu wa ngazi angalau Mikoa na Wilaya, Uwazi wa matumizi ya ruzuku,Uwazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.