iv huu ndo utaratibu gani kila chuo mwaka huu kina application fee yake kwa wale wanaoomba bachelor degree,CUHAS[bugando] application fee Tsh 30000,kcmuco[kcmc] application fee Tsh 50000,MUHAS application fee Tsh 10000,UDSM Tsh 10000,mwaka jana kiongozi mkubwa wa serikali atoa maagizo appliction...