Yeriko ni mwepesi sana kichwani kama Steven Nyerere. Wote hawa ni low battery, ndio maana wanatumia majina ya watu. Anapenda kujipambanua kuwa ni mwandishi wa vitabu kumbe kilaza mkubwa.
Thread kama hii in a implications kwamba hapa Tanzania vijana wengi hawajui vision wala mision ya vyama vya siasa. Wanajua vision na mision ya vyama ni maslahi na project za watu.
Lakin kumbe vyama vya siasa ni msingi mkubwa wa Taifa kupata viongozi bora wa kuliongoza Taifa. Na hata katiba...
Kwa hiyo Ulimwengu hata akiongea pumba, kwa kuwa anapenda kuropoka basi mnaona ni point.
Huyu Ulimwengu kaongea pumba kubwa sana. Huyu mzee kwanini hataki kukaa kukaa kimya?Ananijiaibisha sana, akili imedepreciate tayari.
Mwalimu alikaa muda, mrefu kwa kuwa kulikuwa hakuna wasomi, hakuna...
Hawa watu JF ingekuwa inawapiga ban completely kwa kuwa wanakuja humu kutuonyesha umbumbu wao. Jaji Sinde Warioba , mwaka 1996 mpaka 1999 aliteuliwa na mahakama ya bahari ya Hamburg kuwa jaji kule German. Huyu ni jaji wa kimataifa sio wa connection na uchawa. JF anzeni kuangalia elimu na uelewa...
Hata kama hakuna sheria hiyo ni dhahiri kuna deficit kubwa ya matapeli kuwaibia wananchi. Sasa sheria hiyo itatungwa na bunge na matapeli watadhibitiwa.
Cloud waliibia sana watu wakati wa maafa kilosa. Acha kutetea wezi kwa kutumia loop holes za kijinga na kipumbavu. Be serious and smart guy.
Kwa hiyo ww mtekaji umekuja hapa k kujitetea?? Hakika mistahili ya Bible kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ilimaanisha Tanzania. Kuna watu wajinga na wapumbavu sana kama mtoa thread huyu. Kama alikuwa, anakamatwa, mbona kituo cha police au jeshi la police halina taarifa.? Stupid na...
Na ww pia umekosa wazo la kuanzisha thread. Kwani ukiitwa Dr na usiitwe Dr itakuwa umepata au umekosa nn? Tujaribu kujadili au kuanzisha thread za maana zenye impact kwa issues za kitaifa. Mfano kikwete kuiba gesi mtwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.