Habari, nina changamoto ya gari (tipa, isuzu, double diff tani 10 , engine dizel ya v10). Gari in inawaka vizuri tu ikiwa imepoa ila ikisha tembea na kupata moto, gari haiwaki inakua nzito kuwaka.
Stata inakua nzito kuzungusha injini, yani ina zungusha injini taratibu mno kama betri hazina...
Habari zenu wadau .Ningependa kufahamu kwa wale amabao bado wana fanya biashara ya kirikuu(carry) (nikimaanisha kumpa dereva alete hesabu)
1. kama hii biashara bado inalipa au ni mauza uza tu?
2. Kwa wale ambao bado ina walipa mnafanyaje ili kufanikisha hii shuguli?
3. Hesabu siku hizi ni sh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.