Recent content by dalalimbeya

  1. D

    Huduma za kupika chakula(catering services) mbeya

    Zama catering tunatoa huduma ya kupika chakula kwenye masherehe mbalimbali mjini mbeya kwa bei nafuu kabisa Kama unahitaji huduma zetu tafadhali wasiliana nasi kwa no hii 0785435753 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Kuhamia south africa

    Wakuu habari za leo, kuna vitu naomba kujua kwa watanzania wanaoishi south africa au watanzania ambao waliwahi kuishi south africa 1) Ni mji gani south africa wenye vyumba bei rahisi? 2) Ni biashara gani naweza kufanya kama muhamiaji? 3) Is it worth it kwenda huko?? Ni hayo tu wakuu
  3. D

    Kupanga/kupangisha/kununua/kuuza nyumba Mbeya

    [emoji57]
Back
Top Bottom