Kuna wimbo unaimbwa- Mama mdogo alinichukua kijijini,alimuahidi mambo mengi Dada yake,kwamba atanisomesha- chorus- kama una pesa oya oya nitumie nauli nirudi Nyumbani,mwenye nao jamani
Mimi natafuta nyimbo mbili lakini sijui zinaitwaje na wala kaimba Nani.mmoja una kipengele kinaimbwa_ Mjini umekuja juzijuzi kwenu ulikuwa unafuga mbuzi.sikujua kuwa ni nuksi mpenzi umemkuwadia mdosi._mwingine kuna kipengele kiko hivi= Hoi hoi hoi mimi naliaa Hoi hoi hoi parapanda italia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.