Nauza shade kwa ajili car parking. Lina mita 4 kwa 6 linatosha kwa gari moja. Linafaa kwaa ajili ya kuzuia jua. nilinunua kubwa likabak. Nauza lote lak 3. Nicheck 0713401812
Wadau nauza shade mita 4kwa 6 fund alizidsha vipimo hivyo limebakia kubwa sana. Unaweza litumia kwa ajili ya car parking au sehemu ya kupumzika ni nzur sana. 0713401812
Kuna nyumba mbili zinapangishwa maeneo ya savei dk 5 toka mliman city. Nyumba moja ina vyumba viwili na sebule choo na sehemu ya kupikia. Kodi 250,000/- kwa mwezi na nyingne ni chumba na sebule jiko na choo chake bei yake ni 170,000/= maji yapo 24/7 gari zinafika had kwako. Hakuna dalali...
Hyo gar ni nzur sana. Hutojuta mawese inatumia kdg tuu. Kama unaweza nunua. spea kibao. Tatzo la umeme ni kwa sababu mlango wake mmoja ni wa umeme lakn haina shida unaweza itumia sana
Wakuu salama? naombeni kujua hasa kwa wale ambao walishaitumia tyt voltz. Vipuri au spare parts zake znapatkana na kama znapatkana bei ipoje? vp hii gar mara nying ina mata tzo gan?
Nawategemea asaten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.