Recent content by Dadeq

  1. D

    Falsafa ya CCM ya Uhuru na kujitegemea ndiyo inayolifaa bara la Africa katika Karne hii ya sasa.

    Toa ushahidi au maoni kwa Tume kuhusu matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi mkuu kwa SMS/WhatsApp: 0743 040890 au kupitia https://tume.uchunguzi.go.tz.
  2. D

    Kuna watu wanapigania mfumo kristo kwa kigezo cha utanganyika tuwakatae

    Ungejikita kwenye kufafanua hoja yako ili ueleweke
  3. D

    Ukweli Fikirishi: Nani Anataka Mabadiliko na Amani ya Kweli kati ya Wanaosema No Reform No Election na Wale Wanaosema Watalinda kura?

    Kuna vitu wala havihitaji kuwa la saba C kuving'amua. Huyu anasema no reform no election akimaanish bila mabadiliko ya kweli hakuna uchaguzi na hawa wanaosema watalinda kura.. Hivi unalindaje kura kwa mfano? Ni njia gani watazitumia? Halafu cha ajabu watu hao ni watz, wanajua context yote. Havana
  4. D

    GE2025 Kujiuzulu kwa Polepole na maswali 7 yanayofikirisha

    Hata Pascal ameanza kutubu bado tuu funza mshamba luca
  5. D

    GE2025 Kujiuzulu kwa Polepole na maswali 7 yanayofikirisha

    Assnte kwa and andiko ila kuna vitu vya kuzingatia; Binafsi huwa nashangazwa sana na watu wanaohoji ni kwanini mtu aliyefanya jambo la maana hakufanya jambo hilo kipindi flani. Mi nadhani cha muhimu ni kuangali, je. Alichofanya ni sahihi na kuishi humo. Soma biblia kuhusu mtu aliyeitwa sauli...
  6. D

    Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    Kwahiyo utajibu au umeshajibu? Akili yako ni kisoda kulinganisha na akili ya HP. Elimu, ujuzi na uzoefu wake kwenye chama na serikali haupaswi kujibiwa na mtu kama wewe Nilisema ni bora mzee mwakatonge angepiga nyeto
  7. D

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Mura amelia sana leo. Vipi kwingineko huko mchakato majimboni?
  8. D

    GE2025 Paschal Mayala: CCM Itakuwa inapambana na kivuli chake kama CHADEMA Haitashiriki uchaguzi

    Wakuu, muda wenu ni wa thamani sana, nisiupoteze, moja kwa moja kwenye video
  9. D

    Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

    Nani kamjaza?
Back
Top Bottom