Embu Fikiria Tanzania ingekuwa katika hali gani kama isingekuwepo CCM madarakani? Watu wangeishi Maisha ya namna na aina gani kama siyo CCM?
Hii paragraph ndio ya muhimu sana. Ungeishia hapa watu wakupe majibu
1964 , Zanzibar na Tanganyika, nchi mbili huru zilizokuwa na mipaka yake ziliungana. Hiyo inatosha kukupa jibu kuwa kama muungano ukifa Kila mtu anabaki na chake, Zanzibar ikiwa ni pemba na unguja na Tanganyika eneo lote la Tanzania bara.
Kuhusu mipaka ya kizamani za ukoloni, hiyo achana nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.