Toa ushahidi au maoni kwa Tume kuhusu matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi mkuu kwa SMS/WhatsApp: 0743 040890 au kupitia https://tume.uchunguzi.go.tz.
Kuna vitu wala havihitaji kuwa la saba C kuving'amua. Huyu anasema no reform no election akimaanish bila mabadiliko ya kweli hakuna uchaguzi na hawa wanaosema watalinda kura..
Hivi unalindaje kura kwa mfano? Ni njia gani watazitumia? Halafu cha ajabu watu hao ni watz, wanajua context yote.
Havana
Assnte kwa and andiko ila kuna vitu vya kuzingatia;
Binafsi huwa nashangazwa sana na watu wanaohoji ni kwanini mtu aliyefanya jambo la maana hakufanya jambo hilo kipindi flani. Mi nadhani cha muhimu ni kuangali, je. Alichofanya ni sahihi na kuishi humo. Soma biblia kuhusu mtu aliyeitwa sauli...
Kwahiyo utajibu au umeshajibu?
Akili yako ni kisoda kulinganisha na akili ya HP. Elimu, ujuzi na uzoefu wake kwenye chama na serikali haupaswi kujibiwa na mtu kama wewe
Nilisema ni bora mzee mwakatonge angepiga nyeto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.