Sidhani... Tungelipata habari sasa. Kwa kusoma siasa za Congo-Brazza, iko tofauti sana na nchi zingine kwenye Sahel au Gabon, n.k. Nguesso (and company) amekitisha Congo-Brazza shwari kwa muda mrefu. Sio tofauti sana na Musevini huko Uganda. Tuwe makini kwa uchunguzi za habari. Mbadala ni kusoma...
Gizanesco! 😂 Nadhani kuna vipengele mbalimbali. Matatizo ni mengi, haswa miundombinu imezeeka saanaa kwa siku za kisasa. Unadhani ni ukosaji wa mvua/maji kama wanavyoripoti kwa habari kama Reuters? Au siyo?
https://youtu.be/1J_4G_ZYuZk?si=wPQ823K-CZwxotJj
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.