Habari zenu ndugu wa MMU. Mnikaribishe na humu pia maana humu ndio kutakuwa jikoni kwangu. Nataka nitibu ndoa nyingi na mahusiano mengi iwezekanavyo kupitia makala zangu, vitabu na mbinu yoyote ile ambayo ni sahihi. Kama yupo anayebisha basi huyo ndio shida yenyewe.
Hivyo kwa kuanza naanza na...
Ndugu zangu katika umoja mnikaribishe humu ukumbini. Najua nipo sehemu sahihi. Nahitaji ushirikiano wenu, hasa katika eneo langu la ushauri na nasaha. Focus yangu vijana na wanandoa. Nimejiunga mahususi kwa habari ya ujumbe wa upendo. Tutakutana humo ndani ya kumbi za jukwaa, asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.