Recent content by D_Mshauri

  1. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Walengwa ni vijana, wachumba na walio katika ndoa. Kama ukichukua ushauri na kuutumia kutapeli wadada, ni juu yako
  2. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Shida kwenye ndoa ni kukosekana same page. Pia ukishakuwa na mke zaidi ya mmoja tegemea lolote
  3. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Punguza hasira za mapema. Niaminishe kuwa sio mapenzi yamekushawishi kuweka dustbin hapo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Nina ndoa mkuu. Hilo usiwe na shaka. Nitaweka nadharia na uhalisia pia
  5. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Habari zenu ndugu wa MMU. Mnikaribishe na humu pia maana humu ndio kutakuwa jikoni kwangu. Nataka nitibu ndoa nyingi na mahusiano mengi iwezekanavyo kupitia makala zangu, vitabu na mbinu yoyote ile ambayo ni sahihi. Kama yupo anayebisha basi huyo ndio shida yenyewe. Hivyo kwa kuanza naanza na...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Hodi humu jukwaani

    Shukrani mkuu
  7. D

    JamiiForums Tanzania Hodi humu jukwaani

    A Asante sana
  8. D

    JamiiForums Tanzania Hodi humu jukwaani

    Asante sana mkuu
  9. D

    JamiiForums Tanzania Hodi humu jukwaani

    Ndugu zangu katika umoja mnikaribishe humu ukumbini. Najua nipo sehemu sahihi. Nahitaji ushirikiano wenu, hasa katika eneo langu la ushauri na nasaha. Focus yangu vijana na wanandoa. Nimejiunga mahususi kwa habari ya ujumbe wa upendo. Tutakutana humo ndani ya kumbi za jukwaa, asanteni
Back
Top Bottom