Recent content by D_Mshauri

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwa efu kumi yako tu...!

    Hivyo ewe kijana...enyi wachumba...enyi wenye ndoa changa mnangoja nini?
  2. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Tushirikishane hicho kicheko furaha, ndugu
  3. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Sasa mkuu ukikosa mwongozo kwenye eneo hilo jmarubusu hisia zikutawale ni wazi utafeli kwenye mengi mengine pia. Nidhamu ni muhimu sana katika eneo hilo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Karibu sana, na kitabu kipo sokoni
  5. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Umeongea jambo la msingi sana, kuwa ili muwe same page inabidi muelewe pamoja. Sio kwa kitabu hiki tu, bali hata pakiwepo semina za aina hii na wote mkasikia na kusikiliza. Inaongeza uzito zaidi. Hata pale ambapo mmoja kazijua hizo kanuni (of which ni za kukumbushana, sema katika namna...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Mbona mimi sijasema naishia hapa? Uko huru kusema chochote maadam huvunji sheria. Mimi nimekuwa huru kusema kuwa wewe una ujivuni, tena unaotaka kukuzidi
  7. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    That is ego bro. Nayo pia nimeiainisha kama reference toka kwa bwana mmoja aliyeandika kitabu kiitwacho Ego is the Enemy
  8. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Itategemea na transporter. Sidhani kama itazidi elfu 5
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Nimeweka bei reasonable ya tsh 10,000/- tu japo kiuhalisia kilipaswa kuwa bei juu zaidi
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Hakuna ujanja ujanja boss. Wala hakuna motivation humo. Sikuandika kitabu kwa lengo. Ukweli ni kwamba hisia hisia tu na ujanja tu havikuwezeshi kutoboa katika life ya ndoa
  11. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Wakati wewe ulijua wenzio wanachukua hatua. Hujachelewa kuungana nao, boss
  12. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Wazungu walisema ukitaka kumficha mtu maarifa, weka kwenye vitabu. Ni wakati sasa wa kukinzana na hoja hizo na kugundua yaliyopo ndani ya kava za vitabu. Hata hivyo bado zipo namna nyingi za kufikisha ujumbe kwa wahusika kama ambavyo nitaainisha huko mbeleni.
  13. D

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa kuwa ujana ni maji ya moto? Sidhani. Soma kitabu hiki kujua kwa nini sio kweli

    Ndani ya kitabu hiki kilichosheheni ujuzi kuhusu ujana na ndoa, hakika utapata kuyajua mengi ambayo pengine awali ulitilia shaka, au hukuwa na hakika nayo. Kwa maelezo ya ziada karibuni DM
  14. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Awali ya yote sitakushauri, japo jina langu linaashiria ushauri. Nitakupa counseling ili mwisho wa siku ufanye maamuzi mwenyewe. Counseling inakupa mamlaka ya kuamua baada ya counselor kuweka bayana mbele yako mema na mabaya kuhusiana na hali uliyopo. Kwanza jitafakari kama uamuzi unaotaka...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Niaminini mimi, hakuna ndoa ngumu. Wagumu watu

    Ni kweli hakuna ndoa bila watu, ila baada ya kuwepo watu, kanuni na taratibu zote za ndoa zinajiainisha na kuwa kama amri au kanuni.
Back
Top Bottom