Wakuu nawasalimu
Hivi chumba cha mateso police sana sana anaingizwa mtuhumiwa wa kosa gani? Au mtuhumiwa wa makosa yoyote anaweza pelekwa humo kwa ajili ya kusema ukweli wa jambo flani?
Na je nani anatoa maamuzi ya mpaka mtuhumiwa kufikwishwa chumba cha mateso.
Asanteni
Asalaam wakuu
Ktk ile ofa yangu wengi wamenijia inbox na kupendekeza jina liwe bashite.
Sasa nimeogopa kutengeneza bango maana hilo jina mmmh! Halitakuwa na shida kweli? Lisije kuniletea shida.
Maoni yenu pls
Kama litapita ofa itamwangukia aliekuwa wa kwanza kulitaja post iliyopita
Niliagiza pochi ilikuja kipochi kidogooooooooooo nikaagiza wallet ikaja mbovu kbs yaani ukiona picha na kitu halic ni tofauti kbs ni waongo.. na vyote vilikaa zaidi ya mwezi
Heshima kwenu wakuu
Nimefungua biashara ya nguo za kiume. Na bei ya kila kitu nauza kwa bei nafuu kbs naweza sema nauza nusu bei ukilinganisha na maduka mengine.
Hivyo nahitaji jina la duka ambalo litaendana na bei zangu nnazouza maana niko chini tofauti na kote wanakouza nguo kama zangu
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.