Mkuu hata usihangaike kitunguu nzuri ipo Mpwapwa na hata hivi sasa kuna nyingine ndio kwanza inatoka shambani nitafute tufanye biashara utafurahi 0627471648
Habari mkuu
Unaweza kupata hata zaidi ya hzo mm niko mboli wilaya ya Mpwapwa ,kuhusu usafiri hilo halina shnda na nikizuri kama unavyo hitaji.tafadhali tunaweza kuwasiliana kwa 0627471648
Na hilo ndo tatizo kubwa kwa wakulima weng,we must come with real solution katika huo umoja wetu,nilazima tujue njia nzuri za kuuza na nnan haswa tutamuuzia hicho tutakacho kuwa tunakilima,soko lbaweza kuwepo ckatai ila kama hatutaweka mikakati mzuri kuhusu masoko tutaisshia kupata hasara.
Nikwel boss nyanya kweli nichangamoto na nilijaribu kulima msimu wa mvua mwaka jana ila matokeo hayakua mazuri sana kwan niligundua ckuwa na bajeti ya kutosha,hata hivyo wazo juu ya hoho ama nyanya chungu nalo nalipokea ila ningependa unijuze zaidi juu ya soko lake
Nnaeneo la zaidi ya hekari 1 lenye rtuba na udongo mzuri sana, lko karibu na mto unatumia mpira mita 50 tu nanina mashine ya kumwagilia niko Mpwapwa,mcmu huu wakiangaz nlilima mahindi.kwasasa ningependa kulima nyanya msimu huu wa masika ila mtaji wangu hautoshi kwa ambae atapenda tushirikiane...
Wazo zuri sana ila mm niko kwenye kilimo mwaka wa 2 huu na ninaweza kusema nnauzoefu angalau,ninachokiona hapo ni kuhusu changamoto za masoko baada ya kulima ikiwa kama huo umoja wetu unaweza kutatua tatizo la masoko itakuwa vyema sana.
Nb.ninaposema masoko na maanisha kuwa na masoko ya uhakika...
Hongereni nyote mm ya kwangu ni DK yako tayari na ninatafuta mteja niko Mpwapwa Dodoma ndo,nilizoea kulima nyanya ila niliamua kujaribu na mahindi nione nmelima kama hekar 2 na nusu.kama kuna mtu ana conection ya wateja tafadhar tujuzane.0627471648
Hongereni nyote mm ya kwangu ni DK yako tayari na ninatafuta mteja niko Mpwapwa Dodoma ndo,nilizoea kulima nyanya ila niliamua kujaribu na mahindi nione nmelima kama hekar 2 na nusu.kama kuna mtu ana conection ya wateja tafadhar tujuzane.0627471648
Mkuu niko mpwapwa maji ni mengi kuna mashamba mazuri na mito inayo tiririsha maji mwaka mzima na wenyeji hawajaamka sana,najishungulisha na kilimo huku nilikuja mwaka jana nnauzoefu wa kutosha kiasi cha kujua hzo laki tano hazitatosha tikiti heka 2 ila nizao linaloweza kustawi vizuri tu huku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.