Recent content by CyberTz

  1. CyberTz

    M23 na Rwanda wakamata rasmi Kivu Kusini na Bandari zote za Ziwa Tanganyika DRC. TISS na JWTZ endeleeni tu kuwa migambo ya CCM

    Hapa chawa wa UVCCM na bibi/babu zao hawawezi kuelewa hili hata siku moja maana wote akili ziko kwenye makalio
  2. CyberTz

    KERO Responded Tatizo katika uhakiki wa vyeti kwa wanafunzi wanaoomba Mkopo na huduma za RITA kwa ujumla

    Habari wanajukwaa. Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA. Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA. Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia. Mbaya zaidi hata...
Back
Top Bottom