Recent content by Cutesy

  1. Cutesy

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Wa nguvu bdo sijapata,maana nilikuwa sina uwakika kama naweza kujiingiza katika mahusiano mtoto akiwa bado ananyonya
  2. Cutesy

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Asante kaka boss nitamsubirI amalize kunyonya,sijaexprience hiyo bado,labda kwakuwa namnyonyesha mda mfupi mara nyingi nakuwa kazini.
  3. Cutesy

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Ivenosa mitano mingi sana,anaweza kuwa mzembe au mama yake kukubwa na magonjwa ya kukasirika ovyo na kuwa na hasira kupita kiasi..
  4. Cutesy

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Asante kwa ushauri Delter,japo hapo chini sijakuelewa naisi ni typing error
  5. Cutesy

    Je, Hali hii itamuathiri mtoto?

    Nina mtoto kana miaka miwili, niliachana na mzazi mwenzangu nikiwa na mimba ya miezi mitano,toka hapo sikuwa katika mahusiano ya kimapenzI,mwanangu amenitimiza miaka miwili ila bado ananyonya. Je, ni sahihi kuanza mahusiano au ndio kuwa na wanaume tofauti wakati mtoto ananyonya inaweza...
  6. Cutesy

    Igweee.

    Asante sana.
  7. Cutesy

    Igweee.

    Hodi hadi jamvini.
Back
Top Bottom