Hapo umepigwa ama unatupiga, haiwezekani atoke banana aje palestina huu ni uongo, yaani kapanda magari mawili mpaka matatu kufika palestina,
Hiyo karatasi ya dawa anatembea nayo akiona mtu anayeeleweka tu anaomba msaada hata mwananyamala kuna kijana ndo kazi yake
Wodi ya wanawake namba nne gorofa ya kwanza mwaisela muhimbili huduma ni za kuomba, mgonjwa anahitaji huduma kama kipimo inabidi asubiri mpaka ratiba ya kipimo hicho ifike mgonjwa anaumwa kweli unasubiri siku ya hicho kipimo, wagonjwa wanang'atwa na mbu balaa, ukilazwa unapata na maralia...
Nilichoelewa ni unatakiwa uwe bahili, usiwe mtu wa tamaa kwa kila unachoona kwakuwa una hela basi unanunua tu hata kazi ya hicho kitu huna, ama ni ile kwenda na matoleo kila toleo unataka, huweki akiba hata kidogo ukipata shida tu kidogo lazima ukakope kausha damu mara wezesha mara ile voda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.