mzunguko wa 10m kwa mwezi ni hela ndogo sana hiyo kwa hospital zenye mzunguko ni ya masaa tu ishaisha, kuipata hiyo kazi uwe wakala pos utanunua mwenyewe, hospital wakiwa na uhitaji wanawambia bank, bank yule mtu anayehusika na mawakala huwa anatangaza mwenye uhitaji unamfata utapata maelekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.