Recent content by Cute shy

  1. C

    Vidonda vya tumbo mpaka kooni

    Naomba namimi kuelekezwa
  2. C

    Msaada: Kuondoa utelezi maji ya mvua

    Siyo wabongo bos ni hatujui, mi ndo nimejua leo kuna maji laini na kuna kuweka chumvi. Nina swali mfano maji lita 3000 chumvi naweka kiasi gani?
  3. C

    Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

    Hapo umepigwa ama unatupiga, haiwezekani atoke banana aje palestina huu ni uongo, yaani kapanda magari mawili mpaka matatu kufika palestina, Hiyo karatasi ya dawa anatembea nayo akiona mtu anayeeleweka tu anaomba msaada hata mwananyamala kuna kijana ndo kazi yake
  4. C

    DOKEZO Hali ya Huduma na Mazingira katika Wodi No. 11 Jengo la Kibasila, Hospitali ya Taifa -Muhimbili hairidhishi

    Wodi ya wanawake namba nne gorofa ya kwanza mwaisela muhimbili huduma ni za kuomba, mgonjwa anahitaji huduma kama kipimo inabidi asubiri mpaka ratiba ya kipimo hicho ifike mgonjwa anaumwa kweli unasubiri siku ya hicho kipimo, wagonjwa wanang'atwa na mbu balaa, ukilazwa unapata na maralia...
  5. C

    Biashara ya nguzo za umeme za Miti

    Tumeachana na nguzo za mbao sasa ni za cement na tenda ina mwenyewe tajiri wa kipare
  6. C

    Mlioweza kuiishi sheria hii ya utajiri njooni mnipe mbinu

    Nilichoelewa ni unatakiwa uwe bahili, usiwe mtu wa tamaa kwa kila unachoona kwakuwa una hela basi unanunua tu hata kazi ya hicho kitu huna, ama ni ile kwenda na matoleo kila toleo unataka, huweki akiba hata kidogo ukipata shida tu kidogo lazima ukakope kausha damu mara wezesha mara ile voda...
  7. C

    Kama umeuziwa kiwanja kwenye maeneo haya Dar, anza kujipanga

    Sh ngapi unauza? Pamepimwa nikilipa napata hati?
  8. C

    Nahitaji mke wa kuoa awe mnene

    Nipo hapa kibonge mwepesi
  9. C

    Msaada line za uwakala Mkuu Tigo, Airtel pamoja M-pesa

    Wakala mkuu wa mtandao ama bank?
  10. C

    Kero zangu kwa CRDB wakala

    Kufanya kazi kama mtandao hamna, pos yako inakuwa na mifumo miwili wa zamani wa kutumia card na wasasa cardless
Back
Top Bottom