Recent content by Cute shy

  1. C

    YUKO WAPI DOKTA MANGURUWE?

    Yupo jela ana kesi ya utakatishaji pesa, nkmemuona mara tatu anashuka na karandinga kutoka segerea
  2. C

    Jinsi ya kuwa wakala mkuu wa kusajili line za simu

    Unalipwa kutokana na ac. Ulizofungua ac. 1. Ni shilingi 1000 malipo yako
  3. C

    Jinsi ya kuwa wakala mkuu wa kusajili line za simu

    Njoo nikupe ya kufungua ac. Crdb
  4. C

    Uwakala wa malipo katika hospitali/vituo vya afya

    mzunguko wa 10m kwa mwezi ni hela ndogo sana hiyo kwa hospital zenye mzunguko ni ya masaa tu ishaisha, kuipata hiyo kazi uwe wakala pos utanunua mwenyewe, hospital wakiwa na uhitaji wanawambia bank, bank yule mtu anayehusika na mawakala huwa anatangaza mwenye uhitaji unamfata utapata maelekezo...
  5. C

    Msaada namna faida inavotengenezwa kupitia uwakala

    Kaweka mtaji mkubwa faida ndogo, mwambie atafute location nzuri kwa mtaji huo 4m hakosi
  6. C

    Ni kampuni gani unanunua mwani?

    Kilo ukiwa umesaga ama bado haijasafishwa?
  7. C

    Naomba ushauri juu ya biashara ya uwakala wa fedha kwa Dar es Salaam

    Unapata, ila ufanye kazi siyo mvivu wa kutafuta masalio
  8. C

    Naomba ushauri juu ya biashara ya uwakala wa fedha kwa Dar es Salaam

    Ukipata goli zuri mtaji wa hata wa 10m mwisho wa mwezi una 2.5m hukosi
  9. C

    Bank gani nzuri kufungua Account kutunza hela?

    Utakachokiweka unapewa asilimia 1 ya kilichopo
  10. C

    Bank gani nzuri kufungua Account kutunza hela?

    Amesema anataka kuweka bank itakayokuwa haina makato, hajasema ni biashara
  11. C

    Bank gani nzuri kufungua Account kutunza hela?

    Kaweke utt ukiwa na 10m kwa mwezi unaekewa laki 1
  12. C

    Nahitaji magunia ya bamia na Nyanyachungu Dar es Salaam

    Namjua analima bamia ana greenhouse
Back
Top Bottom