Tumechoshwa na akina Sappi na uchambuzi wao usio na mashiko na uliojaa hoja lemavu. Eti 'Soccer analyst'!! Pengine 'soccer fan' ingekuwa bora zaidi. Kuwa mchambuzi wa michezo kunahitaji shule kama zilivyo fani nyingine kama uganga, uhandisi, urubani n.k. Watu wanasikia tu political analyst...
Mkuu Mwenyewe, haya mashindano haya-count kwenye FIFA rankings. Mashindano yote yenye limitations kama vile age-categories (U-17, U-20 etc) na haya ya wachezaji wa ligi za ndani TU, hayahesabiwi na FIFA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.