Recent content by cumulonimbus

  1. C

    JamiiForums Tanzania Lissu apinduliwe, ndiyo njia ya kuiponya CHADEMA

    Umeandika utopolo wa hali, kazi uliyotumwa imebuma, hatudanganyiki, watanzania wameelevuka sana, mwaka huu T-shirt na Zita kuwa za kudekia, kofia za SSH zile za chujio zitafaa kuchujia komoni
  2. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Umuhimu wa kila mtanzania kushiriki kupiga kura

    Mimi nimejiandikisha vizuri na kitambulisho changu cha kura kiko vizuri na umri wangu ni zaidi ya miaka 60,lakini sitopiga kura ng'o, ni kupotezeana muda, kura haina thamani. Wacha wajipitishe kwa kishindo tuone kama nchi itakalika!
  3. C

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform No election, ole wao watakaokwenda eti kusimamia vituo vya uchaguzi fake. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kauli za Viongozi wa CHADEMA kila anayewakimbia wana mbeza ikome.

    No reform No election inatosha kuzuia uchaguzi, we were unataka mbinu gani za kuzuia uchaguzi upewe, au wewe unataka watu waende kuuwawa na kuvunjwa mikono na miguu, na wakapotezwe.? Haya waliingia kwenye uchaguzi 2019,2020,2024 walipata nini?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mjue mmoja wa wanaojiita wanaharakati waliozuiliwa na kesi ya uhaini -Utaanza kunusa kitu

    Haki za binadamu hazina mipaka ya nchi, kuna mikataba ya kimataifa ambayo tuliiridhia, sio kwamba zilikuwa mbwembwe za kusaini tu, na kuchukua posho za safari, ni kujifunga. Hivyo polite zinapokiukwa haki za binadamu ni wajibu, kuanikwa, kukemewa kulaaniwa na ikibidi kuwajibishwa na Maha kama za...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kumekuwepo na Tishio la Kiusalama linalotokana na Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Uganda

    Nami Mimi nitakua upande wa Uganda na kuwaonyesha walipo
  7. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA kama Chama cha Siasa mmefanya kosa kubwa sana kususia Uchaguzi

    Kuna watu wanaumia moyoni kwa Chadema kutoshiriki uchaguzi, tuwaachie walioahidiwa majimbo ya bwelele tuone,hatuhitaji watu wetu kuuwawa , kupotezwa ,kungolewa meno,kucha,na kuvunjwa miguu.Lakini sio Chadema tu, ni wananchi wengi hawatoshiriki uchaguzi, itakuwa CCM na wapambe wait ACT na Chaumma.
  8. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mpaka sasa Uchaguzi nchini 2025 sio huru na haki!

    No reform No election, unatetea tumbo lako tu. Hatudanganyiki ng'o
  9. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waziri Mkuu: Tume Huru ya Uchaguzi imeshatuambia uchaguzi upo, chama kinachotaka kwenda kiende

    No reform No election ,hakuna muda wa kupoteza kwa kupanga foreign, huku ukijua matokeo ni wizi wa kura
  10. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mrema: Watia nia na waliounga mkono G55 wanatishiwa na maelekezo yamepelekwa ngazi ya chini kuwa wafukuzwe

    Hao wafukuzwe mara moja kama Chadema tuliwahi kuvuka salama kipindi kile cha COVID 19 ikijadiliwa kuwa ama wafukuzwe ama wa achwe, na wakafukuzwa tukavuka hapo na Chadema ikabaki salama!, sembuse hao mbawa wa G 55? .
  11. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    Mimi na familia yangu sitopiga kura kabisa, miaka yote napoteza nguvu zangu kwenda vituo vya kura, bora nilale usingizi au nikae na manati sehemu kutungua wakuda
  12. C

    JamiiForums Tanzania The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

    Acha kuwa chawa kwa andiko lako unajivunjia heshima yako kama mwandishi mkongwe, umekuwa Mchumia rumbo NRNE ndo mpango mzima tumechoka kuona damu zikimwagika, watu wakipotezwa, polisi wakibeba masanduku ya kura!
  13. C

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 G55 hampaswi kuwa wanyonge itumieni haki yenu ya kusimamia mnachokiamini bila kuyumbishwa na yeyote. Niko tayari kudhamini mikutano yenu wakati wowote

    G55 ni kundi liloshindwa kwenye uchaguzi, njaa zinawasumbua wanatafuta fursa ili wapate mshiko toka upande wa pili.
Back
Top Bottom