Recent content by Culminate

  1. C

    African Satellite World and Sat Gear

    Any stb seller in Dar?
  2. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna pdf nzito sana ya watu wa ASA wanaitwa wakakandwe huko.
  3. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi wakitangaza unaweza kurudia tena kuomba kama ulikandwa?
  4. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi huko UDOM nako bado kweli au ndo tayari watu washaanza kazi.
  5. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bosi assistant lecturers katika field ipi ambao ambao unawazungumzia?
  6. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hata kwenye masters mfumo upo hivyo. Huwezi kuomba kazi inayotaka first degree ukiwa na masters. Labda hiyo master iwe listed kama additional advantage.
  7. C

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Hii itakuwa poa sana. Unaipata kwa 4 ft ukiwa wapi?
  8. C

    Ajira Portal "HELP DESK" that does not "HELP" anything

    Wameandika bosi kwenye tovuti yao kuwa hizo nafasi za udom zimesitishwa hadi itakapotangazwa tena
  9. C

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Hii inapatikana kwa dish size gani mkuu ukiwa Dar
  10. C

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Ila nilishauriwa kuwa kwenye dish la 6 ft ndo inafaa zaidi. Kama unaweza jaribu mkuu uje utupe mrejesho.
  11. C

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Sikumbuki asilimia ila uelekeo ni wa azam lakin dish unalishusha chini sana kama inavyoonekana kwenye picha isipokuwa dish ndio lnakuwa la offset.
  12. C

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Sikumbuki asilimia ila uelekeo ni wa azam
Back
Top Bottom