Kadi yangu bado ninayo, kama ni wazo la watu kuwa nitahamia chama fulani na libaki kuwa wazo tu,
siku za hivi karibuni kumetokea kundi la watu wasiotumia akili kujua kwamba nina kesi mahakamani na bado mimi nahitaji kuwa mbunge mpaka nimalize miezi iliyobaki, lakini wao kwa utashi wao...
Halafu katika mapinduzi yake haramu ni kijinga yeye anapindua ili mtu mwingine atawale wala sio yeye mwenyewe, kule kijenge juu alitaka rafiki yake ndo awe askofu lakini cdm alitaka zitto awe mwenyekiti sio yeye na act nadhani alitaka mambo awe mwenyekiti a zito na sio yeye, mjinga sana
Kuna kajinga kanitwa rangimoto sijui njano 5, kanaanza ujinga wake wa hadithi chachu kwenye kutetea ushetani huu
tumeshajua ukweli na nitaomba ndugu yangu wa arusha anitafutie musabato wa kanisa la kijenge nijue ukweli wa hilo jambo
Halafu katika mapinduzi yake haramu ni kijinga yeye anapindua ili mtu mwingine atawale wala sio yeye mwenyewe, kule kijenge juu alitaka rafiki yake ndo awe askofu lakini cdm alitaka zitto awe mwenyekiti sio yeye na act nadhani alitaka mambo awe mwenyekiti a zito na sio yeye, mjinga sana
Yaani kumbe na kelele zote za kitila na mwigamba hata chama hawakuanzisha wao, kumbe walikaribishwa tu?
maajabu ya mwaka, kila gazeti na kila kona watu wanakiita chama cha zitto na mwigamba
Sasa kumbe ndio naelewa maana ya kila mtu kuanzisha chama na familia yake kama vile alivyofanya mtikila na akina mtei, kwa sababu unaweza kuwaamini watu kuwakaribisha mjenge chama kumbe unageuzwa tambala la kudekia ghafla kama mzee wangu fundikila alivyofanywa.
Huyu mwigamba na Prof.Mkumbo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.