Recent content by Crystal field theory

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ucheleweshwaji wa matokeo chuo kikuu huria(OUT)

    Wadau wa elimu habari. Chuo kikuu huria ni chuo kinachofanya vizuri katika taaluma mbalimbali hapa nchini nawapongeza katika hili. Kero: Kumekuwa na upotevu wa mitihani ya wanafunzi na hata kupelekea wanafunzi kulipia gharama zakurudia mitihani baada ya mitihani hio kupotea, mbali na hapo...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri

    F4..div3, six 3.. dip..3.4 gpa
  3. C

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wakuu

    Wadau wa elimu, naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa. Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization. Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupata recategorization kwa urahisi kati ya hizi. 1.Bachelor of social work(OUT)...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri

    Wadau wa elimu, naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa. Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization. Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupate recate kwa urahisi kati ya hizi. 1.Bachelor of social work(OUT) 2.Bachelor of...
  5. C

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Mwalimu mwenye diploma asome nini ili afanyiwe recategorization?

    Wakuu habari, Diploma ya ualimu muajiriwa serikalini, asome fani gani ili iwe rahisi kufanyiwa recategorization halmashauri? Mbarikiwe.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wife ana PID iliyokomaa.

    Wakuu habari.. naomba kufahamishwa hospital inayotibu hili tatizo tumehangaika mnoo. Mbarikiwe
  7. C

    JamiiForums Tanzania Medical report

    Ni maslahi ya taasisi na mgonjwa karidhia
  8. C

    JamiiForums Tanzania Medical report

    Wakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla #AHSANTENI SANAA
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa 2years na nusu anakalia mgongo

    Sawamkuu
  10. C

    JamiiForums Tanzania Benki gani inanunua deni kutoka Bodi ya Mikopo(HESLB)?

    Wakuu habari, Naulizia benki gani inanunua deni kutoka HESLB? Msaada.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa 2years na nusu anakalia mgongo

    Alichelewa kulia mkuu.. AHSANTE mkuu kwa ushauri.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa 2years na nusu anakalia mgongo

    Wakuu habari.. mtoto wa miaka miwili na nusu anakalia mgongo kulingana na changamoto za ukuaji anazopitia kama nilivowahi kueleza hapo awali. Ombi langu wataalamu hasa physiotherapist hii hali itabadilika baadae ama laa maana bado hajaweza kusimamia'kutambaa Wala kutembea.😭 #Ahsanteni
Back
Top Bottom