Recent content by Crystal field theory

  1. C

    Ucheleweshwaji wa matokeo chuo kikuu huria(OUT)

    Wadau wa elimu habari. Chuo kikuu huria ni chuo kinachofanya vizuri katika taaluma mbalimbali hapa nchini nawapongeza katika hili. Kero: Kumekuwa na upotevu wa mitihani ya wanafunzi na hata kupelekea wanafunzi kulipia gharama zakurudia mitihani baada ya mitihani hio kupotea, mbali na hapo...
  2. C

    Naombeni ushauri

    F4..div3, six 3.. dip..3.4 gpa
  3. C

    Naombeni ushauri wakuu

    Wadau wa elimu, naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa. Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization. Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupata recategorization kwa urahisi kati ya hizi. 1.Bachelor of social work(OUT)...
  4. C

    Naombeni ushauri

    Wadau wa elimu, naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa. Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization. Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupate recate kwa urahisi kati ya hizi. 1.Bachelor of social work(OUT) 2.Bachelor of...
  5. C

    USHAURI: Mwalimu mwenye diploma asome nini ili afanyiwe recategorization?

    Wakuu habari, Diploma ya ualimu muajiriwa serikalini, asome fani gani ili iwe rahisi kufanyiwa recategorization halmashauri? Mbarikiwe.
  6. C

    Wife ana PID iliyokomaa.

    Wakuu habari.. naomba kufahamishwa hospital inayotibu hili tatizo tumehangaika mnoo. Mbarikiwe
  7. C

    Medical report

    Ni maslahi ya taasisi na mgonjwa karidhia
  8. C

    Medical report

    Wakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla #AHSANTENI SANAA
  9. C

    Benki gani inanunua deni kutoka Bodi ya Mikopo(HESLB)?

    Wakuu habari, Naulizia benki gani inanunua deni kutoka HESLB? Msaada.
  10. C

    Mtoto wa 2years na nusu anakalia mgongo

    Alichelewa kulia mkuu.. AHSANTE mkuu kwa ushauri.
  11. C

    Mtoto wa 2years na nusu anakalia mgongo

    Wakuu habari.. mtoto wa miaka miwili na nusu anakalia mgongo kulingana na changamoto za ukuaji anazopitia kama nilivowahi kueleza hapo awali. Ombi langu wataalamu hasa physiotherapist hii hali itabadilika baadae ama laa maana bado hajaweza kusimamia'kutambaa Wala kutembea.😭 #Ahsanteni
Back
Top Bottom