Naomba Serikali na Benki Kuu ya Tanzania kueleza kwa nini huduma za Loan Restructuring na Loan Takeover katika benki kama NMB, CRDB na TCB hazifanyi kazi kwenye mfumo wa ESS?
Huduma hizi zimetangazwa kusaidia wakopaji, lakini wengi wanashindwa kuzipata mpaka Leo hii.
Tunaomba hatua...
Wadau wa elimu habari.
Chuo kikuu huria ni chuo kinachofanya vizuri katika taaluma mbalimbali hapa nchini nawapongeza katika hili.
Kero: Kumekuwa na upotevu wa mitihani ya wanafunzi na hata kupelekea wanafunzi kulipia gharama zakurudia mitihani baada ya mitihani hio kupotea, mbali na hapo...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupata recategorization kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupate recate kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)
2.Bachelor of...
Wakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla
#AHSANTENI SANAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.