Wadau wa elimu habari.
Chuo kikuu huria ni chuo kinachofanya vizuri katika taaluma mbalimbali hapa nchini nawapongeza katika hili.
Kero: Kumekuwa na upotevu wa mitihani ya wanafunzi na hata kupelekea wanafunzi kulipia gharama zakurudia mitihani baada ya mitihani hio kupotea, mbali na hapo...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupata recategorization kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)...
Wadau wa elimu, naombeni ushauri.
Mimi ni mwalimu ngazi ya diploma muajiriwa.
Nahitaji kufanya program nyingine tofauti na ualimu ili nifanyiwe recategorization.
Ni ipi program kwa halmashauri ninayoweza kupate recate kwa urahisi kati ya hizi.
1.Bachelor of social work(OUT)
2.Bachelor of...
Wakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla
#AHSANTENI SANAA
Wakuu habari.. mtoto wa miaka miwili na nusu anakalia mgongo kulingana na changamoto za ukuaji anazopitia kama nilivowahi kueleza hapo awali.
Ombi langu wataalamu hasa physiotherapist hii hali itabadilika baadae ama laa maana bado hajaweza kusimamia'kutambaa Wala kutembea.😭
#Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.