me ni kijana wa kiume niko upanga,na ni mwajiliwa,nahtaj bint mwnye mapenzi ya kweli mungu akipenda cku moja awe mke wangu, umri wa miaka 19/24,awe mkaz wa dar,mrembo wa asili,mwembamba or umbo la kati.cfa zangu;
mpole,msaf ninaejipenda,cnywi wala cvuti.ni mzima kwenye chakula cha usiku...