Recent content by CriticalThinkerBee

  1. CriticalThinkerBee

    GE2025 Hawa ndo watu ambao hawamkubali Samia. Sisi wengine Mungu atupe nini?

    Sawa nitatafuta kazi. Ushauri kwako na wewe ukatafute akili. Good day mkubwa
  2. CriticalThinkerBee

    GE2025 Hawa ndo watu ambao hawamkubali Samia. Sisi wengine Mungu atupe nini?

    Mdogo wangu mimi nina maisha kuliko familia yenu combined. Ila nyeusi nitaiita nyeusi na nyeupe nitaiita nyeupe. Wewe ndio unaeonyesha hufanyi kazi kwa kutegemea intelligence yako rather kutegemea incompetence ya huyu aliyeko madarakani. Majority wanaokupinga humu hawaongelei maslahi binafsi...
  3. CriticalThinkerBee

    GE2025 Hawa ndo watu ambao hawamkubali Samia. Sisi wengine Mungu atupe nini?

    Kama serikali haikuletei pesa kwanini wewe una hofu ya Samia kuondoka madarakani? Kwanini wewe unajinasibu kua mama kafungua nchi mnapiga madili wewe na machizi wenzako? Kama serikali haikueletei pesa basi tuliza nyama maana hata akiondoka itakayokuja serikali nyingine haitaleta pesa tena...
  4. CriticalThinkerBee

    Askari wa usalama barabarani Kimara Bucha

    Hahahaha sasa wakubwa wao hawachukulii hatua hata ukipeleka malalamiko Mzee
  5. CriticalThinkerBee

    Askari wa usalama barabarani Kimara Bucha

    Umesema yote rafiki yangu...yani huo ndo mtindo kwa wale wapuuzi! Lile genge lao kwakweli linatakiwa liangaliwe sivyo ni kumtafuta mmoja mmoja jioni anafanyiziwa maana wamekua kero kwakweli
  6. CriticalThinkerBee

    Askari wa usalama barabarani Kimara Bucha

    Yani lile ni genge la wahuni wamejikusanya pale na sio askari wa usalama barabarani tena
  7. CriticalThinkerBee

    Askari wa usalama barabarani Kimara Bucha

    Nna number ya huyu F.8743 PCL AUGUSTINO
  8. CriticalThinkerBee

    Askari wa usalama barabarani Kimara Bucha

    Habari wandugu, Napenda kuwapa tahadhari juu ya kikundi cha askari wa usalama barabarani wanaopenda kukaa maeneo ya Kimara Kona ama Kimara Bucha. Askari hawa ni wahuni na wanabambikia watu kesi kila mara, na muda mwingine ukibishana nao wanakukariri gari yako na kuchukua number ya leseni yako...
Back
Top Bottom