USHOGA NI DHAMBI KUBWA MBELE ZA MUNGU. Ila sikubaliani na wewe kuwa ni utamaduni wa magharibi na umeletwa na wazungu. Ushoga upo kwenye jamii zote duniani tangu mwanadamu alipoanza kusambaa kwenye uso wa dunia, enzi za Nuhu na kabla yake, upo sana, na utaendelea kuwepo mpaka Yesu mwenyewe...
sasa anachopitia FAM kwa sasa kina tofauti gani na alichopitia Mandela walau miaka yake ya mwanzo ya kesi huko Mzansi? Utakufa masikini wewe na ukoo wako wote.
Freeman Aikael Mbowe ni Mandela wa kizazi kipya. Ametoa maisha yake ili watanzania tupate haki zetu. Mungu akutie nguvu baba. Tunakuombea. Vumilia maumivu lakini kupitia kesi yako ya ugaidi wengi unatufungua akili.
Watawala matumbo moto. Wamefumbwa macho na akili wasione na kuacha uovu wao ili...
Wandugu,
Baada ya kufuatilia kwa kina kinachoendelea mahakamani naweza kuja na nadharia ifuatayo. Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi.
Lakini kwa kuwa DCI alikuwa anafuatilia kwa ukaribu mawasiliano ya kila siku ya simu ya Mbowe aliona kuna connection na Denis Urio hivyo...
The trending destinations category is for the locations that showed the greatest year-over-year increase in a combination of positive Tripadvisor traveler reviews and ratings for accommodations, restaurants and things to do. These are the top 10:
1. Mallorca, Spain
2. Cairo, Egypt
3. Rhodes...
We bado uko nyuma sana ndugu. Dunia ya sasa haiko kama unavyofikiria. Miaka michache ijayo automation kwenye vita haitoepukika. Tazama hii animation video ya kiongozi wa Iran akionesha kum assassinate Trump hapa ndipo dunia ilipofikia.
JWTZ KUTUONESHA MAGUNIA KWA DUNIA YA LEO NI AIBU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.