Huwa naamka saa 11 asubuhi narudi nyumbani saa 4 hadi 5 usiku,hekaheka za kila namna mjini Dar, ila nikienda Tanga huwa napata utulivu wa nafsi sna ile slow life,utulivu,upendo na namna wanavyo ishi maisha yao bila pressure najisemea tu kimoyo moyo haya ndio maisha basi tu.
Bwana weee!!!angalia tu wanavyo tukanana humu TEC na waislamu,yaani unakaa unafikiria hawa watu wananufaika nini zaidi ya kucheza mchezo wa watawala "gawanya uwatawale"ujinga ujinga to the core!yani dini ikitajwa ni kama kuna nati zinawachomoka kichwani
Unawatia vipi kiberiti wakiwa na silaha za moto?hata akiwa mmoja tu ana mkwaju nyie mko wengi kuna atae thubutu kumsogelea??au tunaamua kujifurahisha tu kwa kuongea vitu ambavyo tunatamani vitokee lakini kiuhalisia ni haiwezekani
Mmechelewa sana kumshtukia Mange,Maria wote Wana ajenda zao binafsi..mtu anaeweza weka tupu za watu mitandaoni kwaajili ya kutafuta pesa bila kujali athari anazomletea mhanga kwa jamii yake,anapata wapi nguvu ya kudai demokrasia??
Nchi inapitia magumu kana kwamba yoyote anaaeonyesha nia ya...
Kwa sasa bongo kila mtu anatembea na msemo huu"we have family to feed,and not streets to impress" hata jeshi pia linatembea na msemo huo they have family to feed,and not wananchi to impress
Raisi alikua Magufuli tu hapo..halafu hii michezo ya udini sijui inawanufaisha nini,mwisho wa siku hakuna ataeshinda mnawanufaisha watawala tu sera yao ya gawanya upate kundi kubwa la kukutetea hata kama uongozi wako ni mbovu, sababu mtu mweusi akitajiwa dini tu ni kama akili zinamruka.
Unajua asili ya binadamu ni ubinafsi
Kipindi cha Magu alichukiwa na matajiri,wasomi wengi,wapinzani na CCM wengine ambao aliwanyima ulaji.
Upande wa wananchi wa kawaida wanaopiga mishe zao mtaani wasiokua na mambo ya vyama usingewaambia chochote kuhusu Magu wakakuelewa na hili ni kundi kubwa...
Hawa mawaziiri,mainjinia na wasomi wengine nilikua nawatazama kwa jicho la tofauti sana nilkiona magari wanayotembelea,mishahara wanayolipwa na incentives nyingine.
Nilidhani wana uwezo mkubwa sana kichwani wa kutatua changamoto hasa nyakati kama ngumu,kumbe nao wanakuja na sababu za kawaida tu...
Waislamu tuna inferior complexity mashehe wanaona wamezidiwa elimu na influence na tec hivyo wao wanaona suluhu ni kuwa wababe na kutoa vitisho,kibaya zaidi tec walianza kitambo hata Magufuli walimkosoa sana.
Nchi tajiri za kiislamu pamoja na matajiri binafsi wangewekeza zaidi kujenga shule za...
Kifupi ni kwamba jamii yetu imegawamyika katika makundi matatu ccm na wanufaika,upinzani na wananchi wa kawaida sasa Magu alivyokuja alidili na upinzani na kuonyesha kwa vitendo yuko na wananchi wa kawaida.Hii ikafanya upinzani wakawa wanakosoa serikali kimpango wao raia wakawaida hawakua na huo...
Shida ni kwamba hawa Gen z wengi ambao ndio wana ujasiri wa kutoka na kupambana,hawaamini dini wengi wao sio washika dini kabisa tofauti na vizazi vyetu vya zamani ambavyo mtu akitajiwa dini anakua mpofu
Watawala wameshajua ukimtajia mtu mweusi dini tu akili zinapotea, hata kama ni professa.Kibaya zaidi wakiona maji ya shingo wanapenyeza ajenda ya udini kupata kundi kubwa la kuwatetea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.