Recent content by county _adjustment _tz

  1. C

    SoC04 Mikakati kufikia maendeleo endelevu Tanzania mwaka 2025

    MIKAKATI KUFIKIA MAENDELEO ENDELEVU TANZANIA MWAKA 2025 USIMAMIZI WA RASILIMALI ( rasilimali watu, rasilimali fedha na maliasili zetu ) NA UADILIFU . Swala la rasilimali watu, kwa sasa Tanzania haina uhaba sana wa wafanyakazi katika maeneo mbali mbali ukilinganisha na mika ya 1990s hivyo...
  2. C

    Hivi huyo Magoti, mshauri wa Rais kuhusu siasa, alikuwa na uzoefu upi wa mambo ya siasa? Mbona CCM ina manguli wa siasa jamani?

    Sidhani kama wewe ni mfatiliaji mzury wa haya mambo magoti si wa Leo au Jana pale ikulu ni WA MDA mrefu pia amefanya kazi na mwanakwenda , kiufupi tunaitaji watu tofauti kuleta na kuchochea mambo tofauti tofauti na siasa Ina mambo mengine hujui alikuwa ana mshauri katika eneo gani mkuu kuwa...
Back
Top Bottom