Kwahyo dhambi ni nini hapa?.....ulitaka SGR isafirishe nini?.....no disrespect ila sidhani kama unajua hata unachokipambania ni nini. Its undersrandable kwa watu kumchukia mtu lakini anti-magufulism kwa sasa hazina tija ukizingatia ni mtu ambaye tayari mwendo wake aliumaliza.
Sent from my...
Hapa point ni nini?......unaweza kuthibitisha ni kwa namna gani ukaribu wa huyo Johari na Magufuli umeleta impact katika swala la mkataba huu kupitishwa kihuni huni?.....ifike mda tu watu waelewa swala la kumsakizia kila kitu marehemu badala ya kupambana na hali halisi iliyopo sasa halina msaada...
Hoja inabidi ijengwe hivi sio kwa namna ambavyo mtoa mada na baadhi ya wachangiaji wanavyofanya, Dhihaka sio ukosoaji
Sent from my SM-G960N using JamiiForums mobile app
Hatusemi mapungufu hayapo kiongozi, na hatukatai kukosoa pale inapohitajika lakini sasa grounds za kutaka mabadiliko inabidi ziwe zina mashiko zisiwe za kwamba eti Marekani wanafanya hivi kwann sisi tusifanye vile, we unajua budget ya marekani ipoje labda kwenye swala la defense, unajua...
Nimekuelewa Mkuu ngoja tuwaache, maana hata hoja za msingi hawana zaidi ya kufanya comparison kwa mambo ya nje wanayoyaona kirahisi kwa macho wanasahau kuwa kuna wasiyoyaona.
Kila mtu anayechangia utaskia anasema "kuna jamaa namjua yupo huko, mara kuna jamaa nakae nae kijiweni......blah blah...
Alikutajia ni taasisi zipi? Na alisema kuwa hazina tija kwa sababu haziendani na namna wamarekani wanavyofanya mambo yao?
Sent from my SM-G960N using JamiiForums mobile app
Daima ukosoaji ni kazi rahisi sana ambayo hata mtu dhaifu anaweza kuifanya.pia ww kutokuona kazi/umuhimu wa wale unaowaita "Vidada" haimaanishi huo umuhimu haupo ni vile tu either hujui ila unataka kuonekana mjuaji au ni vile tu hujui alafu hujui kama hujui. ACHENI UJUVI MWINGI MNAHISI MNA AKILI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.