Recent content by Coster2

  1. C

    Kwa wenye uzoefu na Elimu ya Nje naomba kufahamishwa haya

    Habari wadau, Naomba kufahamishwa kitu kimoja, Mimi nikipata admission kwenda kufanya master University of Texas na tayari nimepata F1 visa last week, ila chuo kitafunguliwa Katikati ya August ninachotaka kufahamu ni je naweza kusafiri 60 days before program state date? Je kwenye pot of...
  2. C

    Kuwa 'Chawa' Kisiasa mwisho wake ni umri gani?

    Amos Makala ni chawa wa kiwango Cha PhD
  3. C

    January Makamba anastahili kujiuzulu, anaowabebesha mzigo hawana kosa

    Hakukua na sababu ya kumwondoa Dr Kalemani na kumweka Makamba
  4. C

    Vodacom: Mamilioni wameacha kutumia M-Mpesa hasa vijijini, ni hatari kwa biashara yetu

    ukipiga hesabu ya haraka haraka endapo mtu anakudai elfu 50, na unataka umtumie apate elfu 50 kama ilivyo, inatakiwa uwe na ziada ya 8100, kiwango ambocho ni kikubwa sana, yani gharama ya kutuma, gharama ya kutolea na kodi ya uzalendo iliyopendekezwa na ndugu zungu.
  5. C

    Tozo za miamala : Wananchi wajibu mapigo waamua kusafirisha pesa zao wenyewe

    Hii ni kodi mpya kabisa, eti inaitwa kodi ya Uzalendo.....uzalendo upi?
  6. C

    Waziri Ummy Mwalimu kuna Hujuma huku Tamisemi, Tusaidie

    Mh Waziri Ummy Mwalimu Yapata mwezi na nusu sasa mfumo wa makato ya mishahara ya watumishi wa manispaa ya Ilala na Temeke haifanyi kazi, kiasi kwamba watumishi walio katika hizo manispaa wanaotaka kuchukua mikopo wamekwama yapata mwezi na nusu sasa, tunaambiwa system ya RASSON imeharibika, hivi...
  7. C

    Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

    Kumbuka maneno ya Prof Assad, Bunge dhaifu, spika dhaifu sana... Tanzania halijawahi kua na bunge kama hili la Ndugai tangu tupate uhuru, ata mama Anna Makinda alijitahidi kwa mbali sana compare na huyu Mgogo
  8. C

    Mbunge Musukuma asitake Kuhalalisha kuwa wenye Elimu ndogo wapendelewe, wasikilizwe sana na waonewe mno huruma na Watu kwa gharama ya kuwananga wasomi

    Msukuma for Presdency 2025, twendeni na msukuma kwa nafasi ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa maendeleo ya kweli, Chagua ccm chagua Msukuma, tujenge Tanzania mpya.
  9. C

    Hayati Magufuli ni shujaa anayepigana na walio hai

    shuke ulienda kujifunza ujinga?
Back
Top Bottom