Recent content by Costancia Adauthy

  1. C

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika Sekta ya Madini

    Utangulizi Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo na utajiri wa madini, tanzanite, dhahabu, rubi, fedha (silver), chuma, almasi, na nikeli. Hoja hii inagonga vichwa tuishie kuorodhesha utajiri tulionao au utumike kwa maslahi mapana, ili keki ya taifa iwafikie watanzania wote. Madini ya Tanzania...
  2. C

    SoC04 Elimu ya kidijitali na nafasi ya vijana katika Tanzania tuitakayo

    Utangulizi Jamii ya watanzania tunaelekea katika mambo yanayobeba mustakali wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. kipindi cha mwaka 2024-2025 tutashiriki mambo makuu matatu ambayo yatabeba hatma zetu kama taifa kuanzia miaka 5 na kuendelea, yaani miaka25. Kwanza mchakato wa kupata dira ya...
  3. C

    SoC04 Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 yenye kuhainisha vipaumbele vya maadili katika kukuza uchumi na ustawi wa jamii

    Utangulizi Dira ya maendeleo ya taifa ya mwaka 2000-2025, iko mbioni kutamatika. Na sasa mchakato wa kupata dira mpya ya maendeleo ya taifa ya miaka 25 yaani TANZANIA TUITAKAYO ya kuanzia 2025- 2050 unaendelea. Vipo vipaumbele ambavyo wanajamii tungetamani viwepo katika nyaja mbalimbali. Hapa...
  4. C

    SoC04 Ndoto ya Mwanamajumui

    Utangulizi  Elimu ni nyenzo pekee ya kujenga ujuzi, maarifa, uwezo wa kupambanua mambo, udadisi na kujiamini ambako huchochea mapinduzi ya fikra, hatimaye maendeleo ya jamii husika. Changamoto ya elimu ya sasa Mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yameibua kasoro kwenye elimu yetu kama ifuatavyo...
Back
Top Bottom