Recent content by Costa Kanyasu

  1. C

    Ajali ya Dr. Mwakyembe na yatokanayo

    Kwanza nimpe pole mwakyembe kwa kupata ajari mbaya na baadae kusalimika,Mwakyembe asitafute mchawi katika ajali hii ajue kila jambo hupangwa na Mungu.Kama ambavyo sisi tunajua dua la kuku halimpati mwewe,ndivyo na yeye aamini siku zake bado ingawa kwa Mungu zinahesabika.
Back
Top Bottom