Acheni unafiki nynyi chadema leo kafulila mbona hammwiti msaliti na mlifukuza ktk chama chenu but zitto ndo mnafik.zitto ni mjenga hoja pekee ambae hana mpinzani.
mafisad huwa wanaficha pesa kupitia akaunt za wafanyabiashara kama wahindi hao aliowataja zitto kabwe,jiongezen na nynyi kama hamjasoma misamiat na tamathali za semi.sasa uyo mbowe bungen anaongea nn si mzigo tu,waongeaj ni machar na kafulila tu,wengine wanapiga kelele bila data
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.