Ni bahati mbaya tu mipango wakati mwingine ni vigumu kwenda na malengo, lakini si vibaya kusema imechelewa ila mradi unaanza kuliko hakuna kitu kabisa!
WANANCHI sasa wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami.
Hotuba hii ni kipindi Raisi Mkapa alipokuwa anaweka jiwe la msingi mradi wa barabara ya Nagurukuru kwenda Mbwemkulu yenye urefu wa kilomita 95 mwishoni mwa mwaka 2004.
SUDAN KUSINI WAFANAYA ZIARA YA MAFUNZO YA KUBADILISHANA UZOEFU NA WATENDAJI WA SEKTA YA UJENZI NCHINI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia), akizungumza na viongozi wa ujumbe wa Serikali ya Sudan Kusini waliomtembelea ofisini kwake jijini Dar...
Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (150): Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuanza kuikarabati kwa kiwango cha lami.
Kazi za usanifu wa kina zimekamilika chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Benki ya...
Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (150): Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuanza kuikarabati kwa kiwango cha lami.
Kazi za usanifu wa kina zimekamilika chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Benki ya...
Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (150): Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuanza kuikarabati kwa kiwango cha lami.
Kazi za usanifu wa kina zimekamilika chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Benki ya...
Lusahunga – Rusumo/Nyakasanza – Kobero (150): Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuanza kuikarabati kwa kiwango cha lami.
Kazi za usanifu wa kina zimekamilika chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Benki ya...
Lusahunga Rusumo/Nyakasanza Kobero (150): Lengo la mradi huu ni kufanya usanifu wa kina wa barabara hii yenye urefu wa kilomita 150 kwa ajili ya kuanza kuikarabati kwa kiwango cha lami.
Kazi za usanifu wa kina zimekamilika chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Benki ya Maendeleo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.