Unajua kifo kipo sababu viumbe hai wanakufa.
Acha kuleta analogy mfu.
Nimesema sawa, huwezi kuthibitisha yupo, umejuaje sasa kuwa Mungu yupo?
Au mawazo yako ndio unataka kuyalazimisha yawe fact?
Mfano wako ni mbovu sababu umeujenga katika dhana mbovu, ume assume kifo na uhai ni kama package au entity fulani ambazo zinaingia na kutoka, which is wrong, mfano mfu.
Pia hakuna mahala nimesema kitu kama hakijathibitishwa kuwepo maana yake hakipo.
Yawezekana kabisa kitu kikawepo lakini...
Wewe hujui hata hizo five senses unazoongelea bado zinaweza kutoa taarifa isiyo sahihi.
Unaweza kuona au kusikia vitu ambavyo kiuhalisia havipo.
Hakuna anaye base kwenye uthibitisho wa five senses pekee.
Logic ina play part pia kwenye uthibitisho.
Kama utaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu...
Mawazo ya watu yapi?
Uwepo wa radio waves unategemea mawazo ya mtu?
Tufanye nimekubali ni mawazo ya mtu, vyote nilivyokwambia hapo vinathibitishika nje ya mawazo ya hao watu.
Wewe umethibitisha roho ipo?
Unaweza kuithibisha nje ya mawazo yako?
Thibitisha.
Mwanzo wangu ni pale ambapo sperm ya baba iliungana na yai la mama kuunda zygote.
Kuhusu mwanzo wa uhai bado hakuna maelezo ya moja kwa moja na yenye evidence zinazojitosheleza kuhusu namna inorganic compounds zilivyo evolve mpaka kuunda organic matter ambazo zikaunda cells and so on.
Bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.