Recent content by Cornel rambau

  1. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwandishi wa habari Salim Kikeke achukua fomu kugombea Ubunge Moshi vijijini

    Wewe Acha upumbavu kudanganya watu. Wakati wa utawala wa waarabu kulikuwa na njia tatu za biashara zilizohusisha biashara ya watumwa. Njia ya kati kutoka panic mpaka Lake zone, Njia ya kusini na njia ya kaskazini ambayo ilipeleka uislamu Moshi.
  2. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Paskali Mayala ni mwanahahari mzuri lakini anakabiliwa na Uchawa, Neutrality na fear of unknown

    Hebu staafu ulinde heshima ambayo ulishainyea. Mwanaume unakuwa kinyonga hivyo. Ulijitengenezea credibility kubwa huko nyuma lakini njaa na uchawa unakuweka ktk kundi ambalo utasahaulika haraka sana Mungu atakakapotwaa roho yako. Chawa promax
  3. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

    Chawa katika ubora wake.
  4. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Ijue Katiba ya CCM: Malengo ya CCM, Nguvu za CCM, Vikao vya CCM, na Mamlaka ya Mkutano Mkuu wa CCM, Uamuzi Wake ni wa Mwisho!, Final & Conclusive!.

    Hivi Paschal una jinsia ngapi? Ni juzi tu ulisema maamuzi ya mkutano mkuu yalikiuka katiba ya hao unawaowalamba miguu Leo unasema wako sahihi. Nakushauri ustaafu kwa hiyari ili hata familia yako isome historia tukuka ya ulichokifanya wakati ukiwana akili timamu
  5. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.

    Vote nimetumia bali mkeka mi mila na desturi
  6. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni Muhenga, huyu janja anaitwa nani?

    Kiokote
  7. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

    Wewe hujawahi kununua umeme unalishwa tu. Ukinunua umeme kila mwezi unakatwa 2000 au 1500 .Mwezi wa 6 walikata hilo deni limetoka wapi? Mimi wamechukua 7500 wakati miezi ya nyuma yote wanakata
  8. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

    Jana nomenunua umeme wa 10000 wamekata 7500 wakati kila mwezi nakatwa 2000
  9. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Siri ya Migomo Kenya kisa ni wivu wa maisha mazuri ya Watanzania

    Nilvyosoma heading tu nikajua ni bandiko la kichaa au mtu anayeweza kumweka bond mwenza wake. Tujitahidi tabia za ndani zisiwe Public. Hata mtoto akisoma hili bandiko lako atajudge hana mzazi.
  10. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

    Hii siasa itaendelea kutengeneza janga kubwa kwa watoto wetu.Vigezo viwe kwa wote private au gvt. Wote walifanya mtihani mmoja priority za selform zizingatiwe
  11. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Nimekabidhiwa gari bila plate number ila nimepenyezewa Taarifa kuna mtu anatumia namba za gari yangu iliyoshambuliwa!

    Naomba kupewa vipimo vya mpumbavu kwa sababu mjinga ni mtu ambaye hajaelimishwa lakini ukielimishwa na ukaendelea kuwa ka mwamshambwa basi tusubiri kuzika nguruwe aliyechacha
  12. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Kumbe Nesi aliyeokoa Uhai wa Lissu Dodoma Hospital alifukuzwa kazi, Akutana na Tundu Lissu kuomba Msaada wa Kisheria

    Chuki gani si facts. Haya machawa yanatia hasira jamani.Hivi kama mzazi wa litaahira kama hili angejua Angela angefanya tukio alazwe polisi
  13. Cornel rambau

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

    Mimi nimefundisha Tosa na nimeuguza wagonjwa wengi pale na tuna connection ya waliofanya kazi Ipamba Tanesco lakini hatujawahi kupata taarifa hii
Back
Top Bottom