Recent content by CopsTz

  1. C

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya faiba TTCL haitendi haki

    Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili shirika linataka overhaul kubwa sana.
Back
Top Bottom