Shida ni hao viongozi wa kuhamasisha hawapo siku za hivi Karibuni hakuna kiongozi wa chuo ambaye hayupo UVCCM wote ni watu wenye mawazo mgando. Mfano mwaka 2023 kulikuwa na mgombea uraisi IFM mwenye ushawishi sana ila ilipogundulika kuwa ni mwanachama wa Chadema students organization (CHASO)...
Katika hali ya kushangaza mfululizo wa hali ya ucheleweshwaji wa malipo ya pesa ya kujikimu na chakula kwa wanafunzi wa vyuo Vikuu imekuwa ni jambo la kawaida sana kufanywa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu HESLB. Tunaomba kila mwenye ushawishi asaidie kupaza sauti juu ya hili.
Updates...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.