Wamewaita watu kwenye interview halafu wanataka kuwatoza ela ya kufanyia iyo interview ambayo ni 16,500 tena wanakuambia uwatumie through airtel money ambapo wanakutumia email na pia sms ikikuambia ufungue email yako na interview iyo wanasema itafanyika tarehe 4/3/2017 so sambazeni ujumbe huu...
Doh haiingii akilini kabisa yaani munatoka kwenye chama cheye fisadi 1 munaenda chama chenye mafisadi lukuki hapo mumechemka bola mungehamia ACT wazalendo tungejua moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.