Recent content by connymarty

  1. connymarty

    Job seekers jihadharini na hawa matapeli

    Hawa jamaa wanajifanya wahuni sana umeona wapi interview inalipiwa?
  2. connymarty

    Job seekers jihadharini na hawa matapeli

    Wamewaita watu kwenye interview halafu wanataka kuwatoza ela ya kufanyia iyo interview ambayo ni 16,500 tena wanakuambia uwatumie through airtel money ambapo wanakutumia email na pia sms ikikuambia ufungue email yako na interview iyo wanasema itafanyika tarehe 4/3/2017 so sambazeni ujumbe huu...
  3. connymarty

    Shinyanga mjini, wafuasi wa Dr. Slaa wahama CHADEMA

    Doh haiingii akilini kabisa yaani munatoka kwenye chama cheye fisadi 1 munaenda chama chenye mafisadi lukuki hapo mumechemka bola mungehamia ACT wazalendo tungejua moja
  4. connymarty

    Isuzu Bighorn V6 1995 for sell

    used but in very good condition location Dar es salaam upanga 0713430829 only 17,000,000/=
  5. connymarty

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Wana jukwaa naombeni maoni yenu
  6. connymarty

    Nafasi za kazi Simba SC .....changamkieni haraka

    Dah sasa Mimi yanga damu nafasi nataka kuapply but roho inanisuta nifanyejeeee jamani?
  7. connymarty

    Rushwa ya kupata ajira Tanzania

    nipe mawasiliano ya mtu uyo anayeuza izo ajira apo exim
  8. connymarty

    Rushwa ya kupata ajira Tanzania

    sijakuelewa umemaanisha nn apa?
  9. connymarty

    Rushwa ya kupata ajira Tanzania

    mimi nipe namba mkuu nimechoka kukaa kitaa
  10. connymarty

    Rushwa ya kupata ajira Tanzania

    mimi nipe namba mkuu nimechoka kukaa kitaa
Back
Top Bottom