Inchi yangu ni wapi unaelekea?
Goma?
Aaa hapana.
Darful?
Hapana..
Wapi sasa tunaelekea?
Hebu nambie najue maana... haya makundi ya kujihami yata tutokea kwa pua.
Kwa milipuko ya mabomu nani atapata haki unayomtafitia? Kwa kuwa mnatafuta haki ya watu kufa halaiki is fine. Keep roling. Mwisho wa mauaji ya damu za arusha ni aibu kwa anaye husika kwa njia yyt iwe kufadhili au kuratibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.