Recent content by comte

  1. comte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Kwa bahati mbaya kwa uelewa wangu nchi hii hakuna sheria ambayo chanzo chake ni mila na desturi zetu
  2. comte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Watu wa kawaida bado wapo na hawaishi kwa mjibu wa sheria- wanaishi kwa mjibu wa mila na desturi ambazo kwao ni sherai tosha
  3. comte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Mkuu kila mawada na muktadha na vionjo vyake; hata walioona kisheria hawalalani hadharani- tuheshimu mila na desturi zetu
  4. comte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    hiyo ni haki ya faragha-faragha haitoki nje ikishatoka siyo faragha
  5. comte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    sheria in the name of the law- atakuwa sahihi tu katika jamii ya wanasheria siyo jamii ya kawaida- akagombee urais wa TLS
  6. comte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Dkt. Slaa akifia Gerezani, Rais Samia atawaambia nini Wananchi? Uonevu ni kitu kibaya

    https://x.com/i/status/1890289089011704250
  7. comte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

    https://x.com/i/status/1888589277295997339
  8. comte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

    Usilinganishe uchaguzi wa matusi na uchaguzi mkuu
  9. comte

    JamiiForums Tanzania Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Ni mmojawapo wa wasaidizi wa rais ingawa hakai wala kufanyia kazi Ikulu
  10. comte

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyagali: Polisi walikosea kuwaua walioteka watoto Mwanza

    "Watekaji wawili walikuwa wanajihami kwa mapanga lakini askari polisi zaidi ya 20 walishindwa kuwadhibiti wahalifu hao wawili wenye mapanga na kulazimika kuwapiga risasi. Yani askari zaidi ya 20 wanashindwa kuwadhibiti wahalifu wawili wenye mapanga na kulazimika kuwaua kwa mbali kwa kuwapiga...
  11. comte

    JamiiForums Tanzania Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Aliyelalamika pia ni sehemu ya taasisi ya urais
  12. comte

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

    75% yake ni posho na gharama za kujiendesha USAID Tanzania
  13. comte

    JamiiForums Tanzania Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Ulinzi na usalama wa IKULU NA RAIS uko mikononi mwa walinzi wake na si yeyote yule
Back
Top Bottom