Recent content by comte

  1. comte

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Kwa bahati mbaya kwa uelewa wangu nchi hii hakuna sheria ambayo chanzo chake ni mila na desturi zetu
  2. comte

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Watu wa kawaida bado wapo na hawaishi kwa mjibu wa sheria- wanaishi kwa mjibu wa mila na desturi ambazo kwao ni sherai tosha
  3. comte

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Mkuu kila mawada na muktadha na vionjo vyake; hata walioona kisheria hawalalani hadharani- tuheshimu mila na desturi zetu
  4. comte

    GE2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    sheria in the name of the law- atakuwa sahihi tu katika jamii ya wanasheria siyo jamii ya kawaida- akagombee urais wa TLS
  5. comte

    PreGE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

    https://x.com/i/status/1888589277295997339
  6. comte

    Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Ni mmojawapo wa wasaidizi wa rais ingawa hakai wala kufanyia kazi Ikulu
  7. comte

    Mdude Nyagali: Polisi walikosea kuwaua walioteka watoto Mwanza

    "Watekaji wawili walikuwa wanajihami kwa mapanga lakini askari polisi zaidi ya 20 walishindwa kuwadhibiti wahalifu hao wawili wenye mapanga na kulazimika kuwapiga risasi. Yani askari zaidi ya 20 wanashindwa kuwadhibiti wahalifu wawili wenye mapanga na kulazimika kuwaua kwa mbali kwa kuwapiga...
  8. comte

    Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Ulinzi na usalama wa IKULU NA RAIS uko mikononi mwa walinzi wake na si yeyote yule
Back
Top Bottom