Jamani wana JF ninasikitishwa na hao ndugu zetu wenye mila na utamaduni uliokomaa sana Afrika "Maasai". Wamekuwa bugudha au kero hapa Dar es Salaam. Ukikaa tu unastarehe mahali wanapita na dawa zao za miti shamba na kujifanya madaktari. Et wanauza Viagra ya Kienyeji utasikia wakisema "Nausa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.