But ni tamaa, umaskini ulimbukeni na utandawazi, pia wazazi especially kama mzazi ni single mama hutaraji fadhila kutoka kwa wapenzi was watoto wao. Hakuna mapenzi siku hizi unless uwe na fedha so fedha tu, naapa sitaoa tens maana tangu nimeyajua haya na mengine nionayo never ever, ukiwadanganya...
Mimi muhanga mwenza, scene yako inafanana kama yangu though Mimi mtoto kampeleka kwa mama yake, vitu vyote vya ndani kadai vyake, kodi niliyotoa ktk nyumba kadaii katoa yeye yani huwezi amino napolisi nililala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.