Recent content by commernder

  1. C

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Nashangaa kama kutakuwa na ubaya wowote ati.
  2. C

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Ndo kwanza naanza,mbao nataka nifate mafinga ndo maana nkajua ntapata wanaojua biashara hii vizuri wanielekeze.
  3. C

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Hapo umenena mkuu acha niku Pm watu wapo kwa kukatisha tamaa tu.
  4. C

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Duu mkuu wazo zuri sana ntalifanyia kazi haraka iwezekanavyo asante mkuu
  5. C

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Mimi niko Dodoma nataka nitoe mbao Mafinga naleta hapa mjini.
Back
Top Bottom