Recent content by comfj

  1. C

    Adam Malima afikishwa Mahakama ya Kisutu na kusomewa shtaka la 'Kumzuia askari kufanya kazi yake'

    Askari misifa tu. Mbona zamani walikua hawasemi wanazuiwa kufanya kazi. Msifa hiyo Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  2. C

    Roma Mkatoliki na Waziri Mwakyembe waongea na waandishi wa habari

    Mapichapicha hayo cna imani na Roma... Roma kwa sasa c mkatoliki bali atakua mpagani
  3. C

    Roma Mkatoliki na Waziri Mwakyembe waongea na waandishi wa habari

    Mimi Roma cjakusoma mlitupwa kwenye dimbwi la maji. Mlipopata fahamu mkagundua mpo ununio badala ya kwenda polisi moja kwa moja mkaenda kwanza nyumbani kubadilisha nguo wakati ilitakiwa kwanza mlipoti police halafu ndo mambo mengine yafuate. Ndio maana Kati ya waliokua wanapiga kelele mpatikane...
  4. C

    Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

    Kama Roma hatosema alikopelekwa bado tutakua na maswali ya kujiuliza ila sina shida kuhusu hilo maana naamini hip-hop ni kusema ukweli na namwamini Roma atazingatia nguzo hiyo
  5. C

    Msaada: Nimelikanyaga, uume unatoa usaha

    Kila starehe inafaida na hasara... Pipi bila maganda msile ni sumu eeee
Back
Top Bottom