Recent content by Collins kevoo

  1. Collins kevoo

    JamiiForums Tanzania Kuna namna ya kufupisha muda wa simu kuita ukipigiwa?

    Mkuu sijawahi kusikia kama kuna uwezekano huu lakini kwa jinsi ninavyofahamu kuna baadhi ya codes wanatumia watu katika simu zao kama hataki usumbufu anaweka code hio kwa namba unayotaka wewe na anapokupigia simu inakata haisemi chochote lakini wewe kule unaona anavopiga
  2. Collins kevoo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwenza wa maisha

    Mkuu watu wa Singida na Kondoa unawatenga kabisa[emoji23][emoji23] tatizo nini
Back
Top Bottom