Mtu kuitwa kiongozi, ngazi ya urais, hekima, busara, uvumilivu, utulivu, kufanya mambo kwa weledi uliojaaa utu wema kwake sio shida, hatafuti urais kwa vyovyote vile hata kupitia dirishani bali anachaguliwa na kwa asilimia zaidi ya 80, bali yy ni kazikazi. Huyo ndio rais tunaye mtaka wananchi...
Ni vigumu kwa tajiri kupenya na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni, ni afadhali ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Kama uraisi ni wa kutafuta kwa kila namna, ni hatari sana. watanzania tufikiri kwa kina sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.