Recent content by Collene Colin

  1. C

    Chiku Abwao: UKAWA ni genge la Wafanyabiashara na Mafisadi wapya wanaonyemelea Ikulu

    Acha lugha kali, matusi. Kwani mngekuwa nae uso nkwa uso, poa
  2. C

    Dk. Slaa aacha ombwe CHADEMA

    Duuuuuh, Kazi ipo
  3. C

    Dr. Magufuli yuko kikazi zaidi! Akikagua barabara ya Arusha bypass km 44

    Mtu kuitwa kiongozi, ngazi ya urais, hekima, busara, uvumilivu, utulivu, kufanya mambo kwa weledi uliojaaa utu wema kwake sio shida, hatafuti urais kwa vyovyote vile hata kupitia dirishani bali anachaguliwa na kwa asilimia zaidi ya 80, bali yy ni kazikazi. Huyo ndio rais tunaye mtaka wananchi...
  4. C

    Lowassa is 'Dead' Politically

    Kuwa rais kwa namna yeyote, hata kwa trillion, ni hatari kwel kweli
  5. C

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Ni vigumu kwa tajiri kupenya na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni, ni afadhali ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Kama uraisi ni wa kutafuta kwa kila namna, ni hatari sana. watanzania tufikiri kwa kina sana.
Back
Top Bottom